Upinzani punguzeni Jazba ...Mnajikweza Sasa.. Sijui Bashite kawaloga... Speaker angekaa kimya kwenye hili ndo yangekuwa yale Yale ya double standards tunayoyakataa kwa Rais Magufool na Bashite... Kama Bashite anashughulikiwa kwa kulidhalilisha bunge kwa kusema wabunge wanalala tu Inabidi Hata nyinyi mliheshimu Bunge...Bashite aliitwa mbele ya kamati ya maadili na alifika why nyinyi mgome? Hatutaki double standards Jamani!!!!Hata kama hamkupenda maamuzi yake hamtakiwi kumtukana speaker.. nendeni Jamani bila kukamatwa mlimalize hili ili tuendelee na Bashite mbona mnaunguza picha sasa? Haki mganga wa Bashite kibokoooooo... Badala ya kumshighulikia Bashite Bunge limebaki kutifuana wenyewe kwa wenyewe... So stupid! 😏😏 .
.
Huyu spika amekuwa very fair kwa wabunge woote, msimtibue tafadhali. Mdee umemkosea sana spika huwezi kumwita fala aiseeeee. Especially spika kama Ndugai....Na ukweli inabidi usemwe, tatizo haikuwa wagombea wenu tatizo ni Chadema hakuna demokrasia ya kweli, sio kwenye viti maalum sio kwenye nini.. You guys have to change!! Period!
.
.
Ushauri wangu kwa WaBunge Wa upinzani hayo mambo ya kutoa lugha kali yanawaharibia mnooo. Muache mara moja.Nyinyi ni wabunge, lugha chafu tuachieni sisi tulioko kitaa. .

No comments