Baada ya mastaa mbalimbali kuguswa juu ya stori ya Roma mkatoliki na wenzake watatu kuchukuliwa na watu wasiofahamika kwenye Studio za Tongwe Records na kupelekwa sehemu isiyojulikana, sasa leo April 7 2017 Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Moses Nnauye ameonesha hisia zake juu ya tukio hilo.
Kupitia account yake ya twitter Nape Nnauye ameyaandika maneno haya matatu kuhusu Roma…>>>”Roma! Oooooh No!” – Nape Nnauye.
Tags:
GLOBAL NEWS
RELATED POSTS
BOMBARDIER ZILIZONUNULIWA NA RAIS DK. MAGUFULI ZAINGIZA SH. BILIONI TISA
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ...
Imebumaaa..Madaktari 500 Kutoka Tanzania Wazuia na Mahakama Kwenda Kufanya Kazi Nchini humo..!!!
Madaktari nchini Kenya, w ...