Siku kadhaa zilizopita staa wa Bongo Fleva Harmorapa aliweka wazi kumzimia staa wa Bongo movies Wema Sepetu baada ya kudai anaweza kumgharamia kwa kila kitu na baadaye April 5 2017 Wema Sepetu kupitia Instagram alimtaka Harmorapa aache kujinadi na asiiharibu image yake.
Sasa leo April 7 2017 baada ya kumfikia ujumbe kutoka kwa Wema Sepetu akionywa kuhusu wazo lake hilo, Harmorapa ameongea na millardayo.com na AyoTV Entertainment alivyoupokea ujumbe huo.
>>”Unajua kwamba hata
unapotongoza ama unapoomba kitu kuna mawili; kuna kukubalika na
kukataliwa. Kwa hiyo yeye alichokiongea tayari kishaongea. Kwa hiyo
haina haja sana kulijadili kwa sababu ameshaongea.” – Harmorapa.
Tags:
ENTERTAINMENT
RELATED POSTS
Wema Sepetu amchana Harmorapa, ‘Usiniharibie heshima yangu ninayoijenga sasa’
Harmorapa ameingia choo cha kik ...
Shilole apanga kufanya makubwa kwenye 40 ya mtoto wa Nuh Mziwanda
Shilole aka Shishi Trump ni mzungu ...